Monday, December 03, 2007
INAPENZA SANA AU SIO WATU WANGU?
Mwisho wa wiki iliyopita nilipata bahati ya jusikiliza mahojiano ya waigizaji maarufu a hapa Bongo(Tanzania) katika kituo kimoja maarufu pia hapa kwetu Tz cha television.Nilifurahi sana kusikia toka kwao wakisema sasa afadhali hata filamu zoa za kibongo afadhali zimeanza kuwalipa waigazaji hao.Ni jambo la faraja sana maana hio inamaanisha watanzania na watu wao wa jirani wameanza kupata muamko na fleva za movie za bongo. Hii pia ni pamoja na kuanza kupata majibu kwa maswali mengi tuliyokuwa tunajiuliza, pia waweza rudia mada iliyopita.Ushauri wa bure kutoka kwangu kwa wasanii hao wasibweteke na mafanikio hayo waliyo anza kuyapata tunahitaji sana na wao wajulikane kimataifa ili watuwakilishe kwa sana au sio?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment