Unamcheki huyo hapo?Jamaa anacheza na nyoka si kitoto,huyo ni msela wangu toka Moshi, jamaa anapenda movie.Je anaweza kuwa muigizaji wa movie za kutisha kwa kuonesha ujasiri wake au wewe unasemaje?
Mambo vipi watu wangu? Katika kuendeleza na kukuza lugha yetu ya kiswahili karibuni sana katika blog hii ambayo itakuwa ikiwaletea habari za filamu (movie) pamoja na waigizaji mbalimbali kwa kiswahili, karibuni sana. Pamoja!