Friday, December 14, 2007

CHEZA SALAMA.

Unamcheki huyo hapo?Jamaa anacheza na nyoka si kitoto,huyo ni msela wangu toka Moshi, jamaa anapenda movie.Je anaweza kuwa muigizaji wa movie za kutisha kwa kuonesha ujasiri wake au wewe unasemaje?

Monday, December 10, 2007

MAMBO SHWARII?

Ebwana mambo vipi watu wangu msikonde nawaandali vitu vya maana msikose au sio?