
Mambo yanakwendaje watu wangu? ni muda kidogo sijapanda hewani lakini hii ni kwa sababu ya matatizo ambayo yalikuwa nje ya uwezo wangu lakini namshukuru Mungu kwa kuwa yeye ndio kila kitu. Lakini msijali sana maana kwa uweza wake bado tupo pamoja na tutaendeleza jahazi hili.
Endelea kucheck blog hii. Pamojaa!