Friday, December 28, 2007

MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR!

Samahani sana watu wangu si mnajua mambo ya christmas,Lakini msikonde bado tupo pamoja kama kawaida.Nawatakia sikukuku njema japo nimechelewa kidogo lakini natumaini imekwenda fresh. Pia nawatakia heri ya mwaka mpya wa 2008 tumuombe Mungu atusaidie tufike salama, Amen. Kuhusu mambo yote niliyo waahidi yote yatakwenda kama yalivyopangwa tuombeane uzima.Pamoja na hayo kuna kitu tofauti sana cha ukweli najua wote mtafurahi kama mnavyoenjoy hii bonyeza hapa. Pamoja Tchaooo.

Sunday, December 23, 2007

EBWANA KAMA KAWAIDA!

Watu wangu mambo vipi?Ile issue ya Pitt msikonde ntawapandishia muda si mrefu naomba mniwieradhi kuna mambo yamenibana lakini tupo pamoja kama kawa.Sorry sana mshikaji wangu nard, Halafu blog yako huwa naifungua Bro vipi mbona hupandishi vitu napenda sana kuwa naisoma.Pamoja!!