Friday, January 18, 2008

MMEIPATA HII??


Ebwana mmeipata hii msella wetu ambae ni bonge la muigizaji hapa Tanzania, Steven Kanumba sasa anajiita a.k.a Denzel Wshington wa Bongo (Tz), jamaa ametembelea Hoolywood, Marekani ambayo n i sehemu inayoongoza kwa mambo ya filamu diniani kote. Kanumba akiwa Hoolywood ametembelea studio kadhaa kama vile Warner Brothers na Universal studios.Tunamtakia mafanyikio makubwa sana Kanumba kwa sio tu kwamba atajitangaza yeye lakini pia ataitangaza nchi yetu ya Tanzania na kujulikana katika ulimwengu wa filamu.Nashukuru sana blog ya swahilitime.blogspot.com pia unaweza kwenda kwa kuangalia picha na habari zaidi za Kanumba.








Tuesday, January 15, 2008

HEY!! MAMBO VIPI TUPO WOTE?

Mambo yanakwendaje watu wangu wote nadhani shughuli zinaendelea kama kawaida. Mishangae sana kwa kutokuwa hewani kwa muda kidogo na matizo na mambo mengine ambayo yalifanya kuwa busy kidogo.Lakini msihofu siku zote tutakuwa pamoja ili kupeana mambo matamu ya movie pamoja na waigizaji au sio? Msikonde tupo pamojaa.