
Ebwana mmeipata hii msella wetu ambae ni bonge la muigizaji hapa
Tanzania,
Steven Kanumba sasa anajiita a.k.a
Denzel Wshington wa
Bongo (Tz), jamaa ametembelea
Hoolywood, Marekani ambayo n i sehemu inayoongoza kwa mambo ya filamu diniani kote.
Kanumba akiwa
Hoolywood ametembelea studio kadhaa kama vile
Warner Brothers na
Universal studios.Tunamtakia mafanyikio makubwa sana
Kanumba kwa sio tu kwamba atajitangaza yeye lakini pia ataitangaza nchi yetu ya Tanzania na kujulikana katika ulimwengu wa filamu.Nashukuru sana blog ya swahilitime.blogspot.com pia unaweza kwenda kwa kuangalia picha na habari zaidi za Kanumba.