Tuesday, January 15, 2008

HEY!! MAMBO VIPI TUPO WOTE?

Mambo yanakwendaje watu wangu wote nadhani shughuli zinaendelea kama kawaida. Mishangae sana kwa kutokuwa hewani kwa muda kidogo na matizo na mambo mengine ambayo yalifanya kuwa busy kidogo.Lakini msihofu siku zote tutakuwa pamoja ili kupeana mambo matamu ya movie pamoja na waigizaji au sio? Msikonde tupo pamojaa.