Thursday, December 20, 2007
WATU WANGU MNIWIE RADHI
Kwanza kabisa nilikuwa nataka kuwaomba msamaha watu kwa kutokuwa hewani kwa siku kazaa lakini kama nilivyowaambia tupo pamoja.Hii pia ni pamoja na mtu ambaye alikuwa anitaka kujua historia ya waigizaji maarufu huko Hoollywood,Mshikaji wangu nakwambia leo hii nitakupa vitu.Pia waweza kucheki hapa ili kupata vitu na nilipotolea maoni hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment