Tuesday, January 01, 2008

MWAKA MPYA NDIO HUU!

Kwanza hatuna budi kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kutupenda sisi mpaka kufikia mwaka huu mpya ni lazima tumshuru kwa kutuweka hai hadi leo hii tanaendelea kupumua pumzi yake ya bure, pia bila kusahau ana makusudi nasi basi tumtumikie na kushika amri zake. Kama nilivyokwisha watakia heri nyingi za mwaka huu mpya na bado nawatakia tena na tena.
Basi kama kawa na mwaka huu nitaendelea kuwapa mambo kibao mazuri yanayohusu movie pamoja na waigizaji.Pamojaa.

No comments: