Friday, November 30, 2007

JE TUFANYAJE??

Mambo vipi watu wangu popote mlipo?Hilo swali nimelitoa kwenu ili tupate kujadili kuhusu jinsi ya kukuza soko la filamu sana sana katika nchi hazijapata maendeleo kivile.Kwa mfano mimi ni Mtanzania,na ukimuuliza Mtanzania yeyote yule anayeishi Tanzania atakwambi jinsi filamu zinavyotoka za kumwaga(nyingi mno) karibu kila siku iendyo kwa Mungu lakini kwa mtazamo tu soko la Tanzania bado lipo chini sana na sizani kama kuna filamu nyingine zinafika hata katika nchi jirani za Tanzania nikimaanisha Kenya na Uganda.Je filamu hizi hazina ubora wa kutosha au unaotakiwa au nini haswaa tatizo?Ndio nawauliza Je tufanyaje kukuza soko la nchi ambazo ziko kama Tanzania???

No comments: