Tuesday, November 27, 2007
SHWARI TUJIKUMBUSHE KIDOGO
Nikizungumzia filamu au naweza sema movie ambazo zilitamba wakati fulani baadhi ya watu wanazo kumbuka wanaweza fahamu mimi nina rika gani hivi sasa.Lakini sio tabu sana hata ambao hawakuwepo muda huo wanaweza kuzitafuta movie hizo na kuziangalia zilivyokuwa zinarizisha.Ok msiwe na hofu wala na wasiwasi maana mtaanza kujiuliza ni zipi hizo movie jamaa anataka kuzungumzia.Poa unazikumbuka movie kama Commando ya Arnod,je Blood sport ambazo zilikuwa na mifululiza kadhaa(parts). Na zingine kibao ntazidi kuwakumbusha watu wanngu msikose basi au sio?/
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
tumekupata mwana tunakusikilizi
Post a Comment