Tuesday, December 04, 2007
TUPO PAMOJA?
Hii nilikuwa nataka kuwa kumbusha wale wadau na wa wapenzi wa filamu hasa katika nchi zetu ambazo ndio kwanza zinaanza kuchipukia katika mambo ya filamu,tuwaunge mkono wasanii wetu kwa kununua kazi zao.Na pia kuwapinga na kuwafichua wale wachache wanao warudisha nyuma kwa kuwaibia wasanii kazi zao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment